skip to main |
skip to sidebar
HABARI KATIKA PICHA- Waziri Mkuu akiwa Ireland (Ziara,UCD)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Makamu wa Rais wa Chuo Kikuu cha Dublin (UCD), Dr. Padraic onway na Profesa James Phelan ambaye ni Dean, Faculty of Agriculture, University College of Dublin wakati alipokwenda kwenye chuo hicho nchini Ireland Februari 26, 2009, kuwahutubia wahadhiLi na wanachuo akiwa katika ziara nchini humo.(picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya wahadhili na wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dublin nchini Ireland (UCD) baada ya kuwahutubia wakiwa katika ziara ya nchini humo Febraei 26,2009. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Chuo Kikuu cha Dublin (UCD), Dr. Padrai Conway na kulia niProfesa James Phelan ambaye ni Dean, Faculty of Agriculture, University College of Dublin.(picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhio ya watanzania wanaosoma katika Chuo Kikuu cha Dublin (UCD) nchini Irelanda baada ya kuwasili Chuoni hapo kuwahutubia wahadhili na wanachuo akiwa katika ziara nchini humo Februari 26,2009.(Picha na Ofisi ya Waziri MKuu)
No comments:
Post a Comment