Sunday, March 1, 2009

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Msola wakiwa na wenyeji wao wa Dublin Institute of Technology. Kulia kutoka kwa Waziri Mkuu ni Prof. Brian Norton, President wa DIT, Dr. Fredrick Mtenzi mhadhiri wa DIT, na Prof. Godwin Mjema, mkuu wa chuo cha usimamizi wa fedha Tanzania, IFM.

No comments:

Post a Comment