Sunday, March 1, 2009

HABARI KATIKA PICHA- Waziri Mkuu akiwa Ireland (Ziara, DFA, Dublin)


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkewe, Tunu (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pmoja na baadhi ya watanzania wanaoishi nchini Ireland katika hafla aliyoandaliwa Waziri Mkuu, Na Waziri wa Nchi wa Ireland, Peter Power, jijini Dublin Februari 25, 2009.



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Rais wa Ireland, Mary McAleese kwenye Ikulu ya nchi jijini Dublin kabla ya mazungumzo yao Februari 25, 2009. Alikuwa katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Ireland.


Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda (katikati) na Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Celina Kombani (kushoto) wkaiwa na baadhi ya watanzania wanaoishi nchini Ireland katika hafla aliyoandaliwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi wa Ireland, Peter Power jijini Dublin Februari 25 2009.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)



No comments:

Post a Comment