Sisi YOPET (Youth Organization for Poverty Reduction - Tanzania), tumesaka kwa Muda mrefu ushirikiano wa watanzania wenzetu waishio Ireland na viunga vyake. sisi sio Njo, ni kikundi chenye watu takriban 420 members sasa. Makao yetu makuu ni hapa hapa Kunduch-Dar es Salaam, Tanzania. tumejifunga kutafuta mpenyo wa kuondokana na Umaskini iwapo tutawezeshwa. tuna malengo yetu na mikakati. iwapo tutapata mawasiliano yenu mazuri, na moyo wenu wa uzalendo tutashirikiana kujikwamua.
Pastor Bihagaze
Mwenyekiti
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment