Monday, March 2, 2009

YOPET

Sisi YOPET (Youth Organization for Poverty Reduction - Tanzania), tumesaka kwa Muda mrefu ushirikiano wa watanzania wenzetu waishio Ireland na viunga vyake. sisi sio Njo, ni kikundi chenye watu takriban 420 members sasa. Makao yetu makuu ni hapa hapa Kunduch-Dar es Salaam, Tanzania. tumejifunga kutafuta mpenyo wa kuondokana na Umaskini iwapo tutawezeshwa. tuna malengo yetu na mikakati. iwapo tutapata mawasiliano yenu mazuri, na moyo wenu wa uzalendo tutashirikiana kujikwamua.

Pastor Bihagaze
Mwenyekiti

No comments:

Post a Comment