Sunday, March 1, 2009

HABARI KATIKA PICHA- Waziri Mkuu akiwa Dublin (Ireland)

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na ujumbe wake wakitembelea Kituo cha Mafunzo na Utafiti na Usindikaji Vyakula kilichopo Ashtown (Ashtown Food Research Centre) nje kidogo ya jiji la Dublin nchini Ireland akiwa katika ziara nchini Ireland Februari 27,2009


Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment