Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment