Baadhi ya wahadhiri na wanafunzi wa Dublin Institute of Technology, wakibadirishana mawazo kabla ya kumpokea Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda, tarehe 27/02/2009, ikiwa ni moja ya ziara yake nchini Ireland.
Mimi kama mwenyekiti msimamizi wa Jumuiya ya Watanzania waliopo Ireland, napenda kuchukua fursa hii kukukaribisha wewe mtanzania uliyopo kokote duniani kutoa mchango wako katika kuendeleza taifa letu. Lengo na madhumuni ya blog hii ni kuwakutanisha na kuimarisha umoja wa watanzania waliopo Ireland and duniani kote.
Ahsanteni na karibuni sana.
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
No comments:
Post a Comment