Sunday, March 29, 2009

Kampuni za kusafirisha mizigo kwenda Tanzania

Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani. Tasaidiane!

No comments:

Post a Comment