Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani. Tasaidiane!
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment