Ziara ya Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda - Dublin Institute of Technology
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akikaribishwa na mwenyeji wake Prof. Brian Norton, President wa Dublin Institute of Technology, katika ziara yake katika chuo hicho tarehe 27/02/2009.
Mimi kama mwenyekiti msimamizi wa Jumuiya ya Watanzania waliopo Ireland, napenda kuchukua fursa hii kukukaribisha wewe mtanzania uliyopo kokote duniani kutoa mchango wako katika kuendeleza taifa letu. Lengo na madhumuni ya blog hii ni kuwakutanisha na kuimarisha umoja wa watanzania waliopo Ireland and duniani kote.
Ahsanteni na karibuni sana.
No comments:
Post a Comment