Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
SERIKALI YAINUA UTALII WA TIBA: WAGONJWA WA NJE WAFIKIA 3,018
-
*Na Shaban Juma, WAF – Dodoma*
*Serikali ya Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kukuza utalii
wa tiba, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuong...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment