Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago
No comments:
Post a Comment