Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Sunday, March 1, 2009
HABARI KATIKA PICHA- Waziri Mkuu akiwa Dublin (Ireland)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment