Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya maua kutoka kwa Katibu wa Umoja wa Watanzania waishio, Ireland, Bwana Makunja Jogoo wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipozungumza na watanzania hao jijini Dublin akiwa katika ziara ya kikazi nchini Ireland, Februari 27, 2008.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUZALISHA MKAA MBADALA MKOANI TABORA
-
*Na Mwandishi wetu, Tabora*
*Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezindua Kiwanda cha Rafiki Briquettes
mkoani Tabora na kuielekeza Bodi ya Shirika la...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment