Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani. Tasaidiane!
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago
No comments:
Post a Comment