Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani. Tasaidiane!
SERIKALI YAINUA UTALII WA TIBA: WAGONJWA WA NJE WAFIKIA 3,018
-
*Na Shaban Juma, WAF – Dodoma*
*Serikali ya Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kukuza utalii
wa tiba, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuong...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment