Wazalendo!
Kwa yeyote anayejua kampuni zinazosafirisha mizigo kwenda TZ tokea hapa Ireland, tunaomba maelezo. Kuna watu wengi wanahitaji kusafirisha mizigo kwenda TZ (kwa unafuu) lakini hawajui jinsi gani. Tasaidiane!
TUENDELEE 'KUKIBIDHAISHA KISWAHILI' KUFANIKISHA UKUZAJI UCHUMI
-
*Na Dk. Reubeni Lumbagala Kuna umuhimu mkubwa kwa Watanzania kubadili
mtizamo kuhusiana na lugha ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa, tusiiangal...
21 hours ago
No comments:
Post a Comment