Sisi YOPET (Youth Organization for Poverty Reduction - Tanzania), tumesaka kwa Muda mrefu ushirikiano wa watanzania wenzetu waishio Ireland na viunga vyake. sisi sio Njo, ni kikundi chenye watu takriban 420 members sasa. Makao yetu makuu ni hapa hapa Kunduch-Dar es Salaam, Tanzania. tumejifunga kutafuta mpenyo wa kuondokana na Umaskini iwapo tutawezeshwa. tuna malengo yetu na mikakati. iwapo tutapata mawasiliano yenu mazuri, na moyo wenu wa uzalendo tutashirikiana kujikwamua.
Pastor Bihagaze
Mwenyekiti
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUZALISHA MKAA MBADALA MKOANI TABORA
-
*Na Mwandishi wetu, Tabora*
*Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezindua Kiwanda cha Rafiki Briquettes
mkoani Tabora na kuielekeza Bodi ya Shirika la...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment