Sisi YOPET (Youth Organization for Poverty Reduction - Tanzania), tumesaka kwa Muda mrefu ushirikiano wa watanzania wenzetu waishio Ireland na viunga vyake. sisi sio Njo, ni kikundi chenye watu takriban 420 members sasa. Makao yetu makuu ni hapa hapa Kunduch-Dar es Salaam, Tanzania. tumejifunga kutafuta mpenyo wa kuondokana na Umaskini iwapo tutawezeshwa. tuna malengo yetu na mikakati. iwapo tutapata mawasiliano yenu mazuri, na moyo wenu wa uzalendo tutashirikiana kujikwamua.
Pastor Bihagaze
Mwenyekiti
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago
No comments:
Post a Comment