- Ada kwa mwaka kwa kila mwanaumoja wa Tanzania Ireland
- mkakati wa kuiharisha chama- Katiba; account ya chama
- Party ya watanzania- in the summer 09
- Maandalizi ya kuonana na Waziri mkuu
Monday, February 16, 2009
Majadiliano ya mkutano 15/02/09
Kufuatia mkutano uliofanyika 15/02/09 yafuatayo ni baadhi ya mambo yaliyoongelewa.