Wapendwa Watanzania, kufuatia maongezi na ubalozi kuhusu ziara ya Warizi Mkuu. Ubalozi unatoa mwaliko wa chakula cha jioni na Waziri Mkuu tarehe 27/02/09. Yafuatayo ni majina yaliyokwisha tumwa kwa wawakilishi wa watanzania Ireland. Iwapo hutapenda kuhudhuria au jina lako halipo katika orodha hii tuma baruapepe kwenda swahili@live.ie
- Davina Mhando
- Fred Mtenzi
- David Nyauke
- Nam Kibacha
- Maria Mnzava
- Bebi Licky
- Maura Kachirode
- Zanifa Omary
- Dennis Lupiana
- James kasper
- Rukia Senga
- Rose Tinabo
- Msury Mahunnah
- Renatus Mushi
- Salehe Mwachaka
- Theresia Buluda
- Dickson Pinswande
- Alfred Mulla
- Zawadi Karashani
- Msafiri Mlangwa
- Rose Mlangwa
- Fredrik AJ Mashingia
- Luka Mkonongwa
- Frank Steven
- Eudoxia
- Amina Kavira
- Caroline Lamba
- Isabella Noone
- Thomas Kitambi
- Nakundwa Seushi
- Rukia
- Valentine Tungura
- Eudoxia Vitalis
- Bossi Masamilla
- Zubeir
- Marietha Mrema
- Nyamwenda Massamba
- Cecillia Massawe
- Salehe Mwachaka
- Jafari saidi