Yah. Wenye maombi ya wenye kuhitaji pass za kitanzania. Tarehe maalumu ya kuonana na afisa uhamiaji hapa Dublin ni 26.02.09 na 27.02.09. Muda kamili haujatolewa.
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago