WEWE MTANZANIA UNAYEISHI MBALI NA NCHI YAKO, NDUGU, MARAFIKI AU WAPENDWA WAKO; JE UMEANDIKA NAMBA YA SIMU ''IN CASE OF EMERGENCY'' KWA KIFUPI, "ICE" KWENYE SIMU YAKO? Katika simu yako ya mkononi andika namba ya simu ya mtu ambaye atapigiwa simu wakati wa emergency- YOU NEVER KNOW!
SERIKALI YAINUA UTALII WA TIBA: WAGONJWA WA NJE WAFIKIA 3,018
-
*Na Shaban Juma, WAF – Dodoma*
*Serikali ya Tanzania inaendelea kuchukua hatua madhubuti za kukuza utalii
wa tiba, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuong...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment