Ndugu watanzania wenye kuhitaji kutengenezewa Passport- Afisa Uhamiaji atashughulikia maombi yanu tarehe 27.02.2009; Maldron Hotel, Parnell Square, D.1 Kuanzia saa Tatu na nusu asubuhi hadi saa sita mchana.
Rep. Tanzania Ireland
AZAM MARINE YAONGEZA NGUVU KUSAFIRISHA MASHABIKI AFCON 2027
-
*Kampuni ya Azam Marine imeanza maandalizi ya kuimarisha huduma za usafiri
wa majini kuelekea michuano ya AFCON 2027, ikiwamo kuongeza meli mpya ya
Kilima...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment