Nitakua ni mbinafsi nisipotoa shukrani zangu za dhati kwa wanajumuiya wote mliotoa michango yenu kuhusiana na maada hii.
Nawashukuru sana, tena sana, kwani michango yenu imekua ni ya manufaa makubwa katika kuhitimisha zoezi la kutangaza kwenye gazeti kupotea kwa passport.
No comments:
Post a Comment