Yah. Wenye maombi ya wenye kuhitaji pass za kitanzania. Tarehe maalumu ya kuonana na afisa uhamiaji hapa Dublin ni 26.02.09 na 27.02.09. Muda kamili haujatolewa.
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
4 hours ago