Wednesday, February 25, 2009

Kukumbushana DFA Reception 25.02.09

Tunakumbushia kuwa 'Reception' ya leo jioni,DFA, itakuwa na ulinzi mkali; na admission ni kwa wale tu wenye 'Invitation Cards'. Watoto na Watu wasio na invitation Cards hawataruhusiwa kuingia. Hii ni 'Formal Gathering'(Tuheshimu utaratibu uliopangwa na DFA).Tafrija ya 27.02.09 pia yaweza kuwa na masharti haya, tunasubiri uamuzi wa Walinzi kuhusu watoto kutohudhuria.

No comments:

Post a Comment