Ndugu watanzania wenye kuhitaji kutengenezewa Passport- Afisa Uhamiaji atashughulikia maombi yanu tarehe 27.02.2009; Maldron Hotel, Parnell Square, D.1 Kuanzia saa Tatu na nusu asubuhi hadi saa sita mchana.
Rep. Tanzania Ireland
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment