WEWE MTANZANIA UNAYEISHI MBALI NA NCHI YAKO, NDUGU, MARAFIKI AU WAPENDWA WAKO; JE UMEANDIKA NAMBA YA SIMU ''IN CASE OF EMERGENCY'' KWA KIFUPI, "ICE" KWENYE SIMU YAKO? Katika simu yako ya mkononi andika namba ya simu ya mtu ambaye atapigiwa simu wakati wa emergency- YOU NEVER KNOW!
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment