Tuesday, February 17, 2009

JE UMEWEKA NAMBA 'ICE' KATIKA SIMU YAKO?

WEWE MTANZANIA UNAYEISHI MBALI NA NCHI YAKO, NDUGU, MARAFIKI AU WAPENDWA WAKO; JE UMEANDIKA NAMBA YA SIMU ''IN CASE OF EMERGENCY'' KWA KIFUPI, "ICE" KWENYE SIMU YAKO? Katika simu yako ya mkononi andika namba ya simu ya mtu ambaye atapigiwa simu wakati wa emergency- YOU NEVER KNOW!

No comments:

Post a Comment