Monday, February 16, 2009

Majadiliano ya mkutano 15/02/09

Kufuatia mkutano uliofanyika 15/02/09 yafuatayo ni baadhi ya mambo yaliyoongelewa.
  • Ada kwa mwaka kwa kila mwanaumoja wa Tanzania Ireland
  • mkakati wa kuiharisha chama- Katiba; account ya chama
  • Party ya watanzania- in the summer 09
  • Maandalizi ya kuonana na Waziri mkuu
Kwa maelezo zaidi kuhusu vidokezo hivyo hapo juu tuma barua pepe: swahili@live.ie