Dear Tanzanians
The Department of Foreign Affairs would like to extend invitations to members of the Tanzanian community in Ireland to a reception in Iveagh House (Department of Foreign Affairs, 80 Stephen's Green Dublin 2) on Wed. 25th Feb.09 at 18:00PM.
Tunachukua Nafasi hii kuwafikishieni ujumbe wa mwaliko toka Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, DFA. DFA inawakaribisheni nyote, wenye majina hayo hapo chini, kwenye party ndogo itakayofanyika Iveagh House (Department of Foreign Affairs, 80 Stephen's Green Dublin 2) Jumatano. 25th Feb.09.
Nyote mnaombwa kuhudhuria kwani mwaliko huu ni moja wapo ya shughuli za mapokezi ya waziri mkuu (Mizengo Pinda) hapo tarehe 26/02/09. Mwaliko huu ni tofauti na ule unaoandaliwa na ubalozi.
The Department of Foreign Affairs would like to extend invitations to members of the Tanzanian community in Ireland to a reception in Iveagh House (Department of Foreign Affairs, 80 Stephen's Green Dublin 2) on Wed. 25th Feb.09 at 18:00PM.
Tunachukua Nafasi hii kuwafikishieni ujumbe wa mwaliko toka Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, DFA. DFA inawakaribisheni nyote, wenye majina hayo hapo chini, kwenye party ndogo itakayofanyika Iveagh House (Department of Foreign Affairs, 80 Stephen's Green Dublin 2) Jumatano. 25th Feb.09.
Nyote mnaombwa kuhudhuria kwani mwaliko huu ni moja wapo ya shughuli za mapokezi ya waziri mkuu (Mizengo Pinda) hapo tarehe 26/02/09. Mwaliko huu ni tofauti na ule unaoandaliwa na ubalozi.
- Davina Mhando
- Fred Mtenzi
- David Nyauke
- Nam Kibacha
- Maria Mnzava
- Bebi Licky
- Maura Kachirode
- Zanifa Omary
- Dennis Lupiana
- James kasper
- Rukia Senga
- Rose Tinabo
- Msury Mahunnah
- Renatus Mushi
- Salehe Mwachaka
- Theresia Buluda
- Dickson Pinswande
- Alfred Mulla
- Zawadi Karashani
- Bw. Msafiri
- Bibi Msafiri
- Fredrik AJ Mashingia
- Luka Mkonongwa
- Frank Steven
- Eudoxia
- Amina Kavira
- Caroline Lamba
- Isabella Noone
- Thomas Kitambi
- Nakundwa Seushi
- Rukia
- Valentine Tungura
- Eudoxia Vitalis
- Bossi Masamilla
- Zubeir
- Marietha Mrema
- Nyamwenda Massamba
- Cecillia Massawe
- Salehe Mwachaka
- Jafari saidi
- Mwajuma Magwiza
- Baltazari Sungi
Shukrani
Wawakilishi: Tanzania Ireland
Ndugu Mwenyekiti, naombaunisaidie kama utakuwa na kadi ya ziada kwenye mnuso wa leo tar 25 february kwani nimesahau kadi yangu nyumbani na nimbali kidogo,nimeshindwa kuirudia kwani nitakuwa darasani mpaka saa 11 jioni, Ila nilisha waandikia email hao DFA ya kuconfirm kwamba nitahuzuria leo kama ulivyoelekeza awali.
ReplyDeleteDickson Pius Wande