Ndugu wadau
Tunapenda kukusanya mchango wa mawazo ili tuweze kuishawishi team ya mpira wa miguu ya Ireland kuweka kambi yao Tanzania kwa maandalizi ya kombe la dunia 2010; iwapo ita-qualify!
Kwa kushirikiana na ubalozi, sisi tutaandaa propasal yetu, kisha tutaituma kwa FAI (Football Association of Ireland). Tuma maoni yako kwa swahili@live.ie
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUZALISHA MKAA MBADALA MKOANI TABORA
-
*Na Mwandishi wetu, Tabora*
*Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezindua Kiwanda cha Rafiki Briquettes
mkoani Tabora na kuielekeza Bodi ya Shirika la...
10 hours ago
that will be great! lakini watakao andaa world cup si ndiyo watakaoandaa timu zote au?
ReplyDelete