Ndugu wadau
Tunapenda kukusanya mchango wa mawazo ili tuweze kuishawishi team ya mpira wa miguu ya Ireland kuweka kambi yao Tanzania kwa maandalizi ya kombe la dunia 2010; iwapo ita-qualify!
Kwa kushirikiana na ubalozi, sisi tutaandaa propasal yetu, kisha tutaituma kwa FAI (Football Association of Ireland). Tuma maoni yako kwa swahili@live.ie
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago
that will be great! lakini watakao andaa world cup si ndiyo watakaoandaa timu zote au?
ReplyDelete