Ndugu wanaumoja wa TanzaniaIreland (TAI)
Kufuatia jitihada za kuendeleza umoja, tunaendelea na shughuli za usajiri wa umoja. Tumekwisha jaza form na kuzituma kwenye Offisi ya mapato ili tuweze kupata namba ya usajiri ambayo pia itatuwezesha kupata exemption. FINGERS CROSSED, tukisha pata namba hiyo basi tutaendelea na ufunguaji wa akounti ya umoja/chama. Kama kuna maulizo/swali kuhusu habari hii tafadhari tumeni maulizo hayo;swahili@live.ie
Wenu ktk huduma.
Mtumishi wa umoja
WAZIRI MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUZALISHA MKAA MBADALA MKOANI TABORA
-
*Na Mwandishi wetu, Tabora*
*Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezindua Kiwanda cha Rafiki Briquettes
mkoani Tabora na kuielekeza Bodi ya Shirika la...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment