Ndugu wanaumoja wa TanzaniaIreland (TAI)
Kufuatia jitihada za kuendeleza umoja, tunaendelea na shughuli za usajiri wa umoja. Tumekwisha jaza form na kuzituma kwenye Offisi ya mapato ili tuweze kupata namba ya usajiri ambayo pia itatuwezesha kupata exemption. FINGERS CROSSED, tukisha pata namba hiyo basi tutaendelea na ufunguaji wa akounti ya umoja/chama. Kama kuna maulizo/swali kuhusu habari hii tafadhari tumeni maulizo hayo;swahili@live.ie
Wenu ktk huduma.
Mtumishi wa umoja
JESHI LA POLISI MKOA MBEYA LAREJESHA TABASAMU KWA JAMII
-
*Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi
(SACP) Benjamin Kuzaga amewaongoza Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo
mbalimb...
16 hours ago
No comments:
Post a Comment