Tanzania Imepanda daraja ngazi 12 juu. Tumekuwa namba (97 ) Duniani Chini ya syria na Juu ya Montenegro. Namba (23) barani Africa chini ya Sudan juu ya Gambia.
Nchi ya kwanza Duniani ni Brazil, kufuatiwa na Spain na Uholanzi. Afrika namba moja ni Ivory Coast kufuatiwa na Cameroun, Gabon, Nigeria.
Tanzania Best performance ilikuwa 1995 ( 65) na worst 2005 (175) .
Gonga hapa chini ujionee mwenyewe
http://www.fifa.com/associations/association=tan/ranking/gender=m/index.html
TRA PWANI YAKAMATA MAGENDO BAGAMOYO
-
*Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata magendo ya bidhaa
katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu 10 ya mafuta
...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment