Tanzania Imepanda daraja ngazi 12 juu. Tumekuwa namba (97 ) Duniani Chini ya syria na Juu ya Montenegro. Namba (23) barani Africa chini ya Sudan juu ya Gambia.
Nchi ya kwanza Duniani ni Brazil, kufuatiwa na Spain na Uholanzi. Afrika namba moja ni Ivory Coast kufuatiwa na Cameroun, Gabon, Nigeria.
Tanzania Best performance ilikuwa 1995 ( 65) na worst 2005 (175) .
Gonga hapa chini ujionee mwenyewe
http://www.fifa.com/associations/association=tan/ranking/gender=m/index.html
RAIS KAGAME ATUA TANZANIA
-
*Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya
Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati...
1 day ago
No comments:
Post a Comment