Tanzania Imepanda daraja ngazi 12 juu. Tumekuwa namba (97 ) Duniani Chini ya syria na Juu ya Montenegro. Namba (23) barani Africa chini ya Sudan juu ya Gambia.
Nchi ya kwanza Duniani ni Brazil, kufuatiwa na Spain na Uholanzi. Afrika namba moja ni Ivory Coast kufuatiwa na Cameroun, Gabon, Nigeria.
Tanzania Best performance ilikuwa 1995 ( 65) na worst 2005 (175) .
Gonga hapa chini ujionee mwenyewe
http://www.fifa.com/associations/association=tan/ranking/gender=m/index.html
MAANDALIZI KIZIMKAZI FESTIVAL2026 YAPAMBA MOTO
-
*Maandalizi ya Kizimkazi Festival itakayofanyika Agosti 12 hadi 14, 2026,
yamepamba moto. Tamasha hili linalofanyika kila mwaka linatayarajiwa
kuwaleta p...
1 day ago
No comments:
Post a Comment