Shukrani kubwa ziwafikieni nyote mlioweza kuhudhuria kijisherehe kidogo cha kumuaga Maria Mnzava. Tunaweka uthibitisho hapo chini wakati tunajiandaa kuyarudi-tunapokea somo toka kwa Mdau Guy.
TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO
-
*Arusha*
*Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani
(IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa
u...
1 day ago

No comments:
Post a Comment