Ndugu wadau
Tunapenda kukusanya mchango wa mawazo ili tuweze kuishawishi team ya mpira wa miguu ya Ireland kuweka kambi yao Tanzania kwa maandalizi ya kombe la dunia 2010; iwapo ita-qualify!
Kwa kushirikiana na ubalozi, sisi tutaandaa propasal yetu, kisha tutaituma kwa FAI (Football Association of Ireland). Tuma maoni yako kwa swahili@live.ie
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
7 hours ago
that will be great! lakini watakao andaa world cup si ndiyo watakaoandaa timu zote au?
ReplyDelete