Shukrani kubwa ziwafikieni nyote mlioweza kuhudhuria kijisherehe kidogo cha kumuaga Maria Mnzava. Tunaweka uthibitisho hapo chini wakati tunajiandaa kuyarudi-tunapokea somo toka kwa Mdau Guy.
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment