TRA PWANI YAKAMATA MAGENDO BAGAMOYO
-
*Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imekamata magendo ya bidhaa
katika Wilaya ya Bagamoyo ikiwemo viroba 50 vya mchele, madumu 10 ya mafuta
...
10 hours ago
Habari yako Dada Nam Kibacha,
ReplyDeleteMimi ni Mtanzania nipo hapa National University of Ireland, Maynooth tangu mwezi Septemba 2009, nachukua M.A. Economics (1yr Full Time). NAimefurahi kusikia kumbe kuna Umoja wa Watanzania Waishio Ireland baada ya kuangalia Website ya Michuzi na kuona Umoja wa wenzetu wa Uingereza, then nikafanya browsing kama kuna Umoja kama huo hapa Ireland, ndipo nikapata hii Link. Sijui utaratibu upoje, natamani nami kuwa mwanachama na pia kukutana na Watanzania wenzako waliopo hapa Ireland. Tangu nimekuja nimekutana na Wanafunzi wenzangu Watanzania wawili tu hapa Chuoni. Asante.
Contacts zangu: CHARLES LAWRENCE MSIKE, MOBILE: 0876152662; RESIDENCE ADDRESS: 3B MOY, RIVER APARTMENTS, NATIONAL UNIVERSITY OF IRELAND, MAYNOOTH, CO. KILDARE.