Nashukuru sana kwa salamu zenu, na nachukua nafasi hii,kupokea uteuzi huu,wa Acting Chairwoman (caretaker) nitauendeleza kwa kutegemea msaada na mawazo yenu pia kwa pamoja.
ASANTENI,NA KIDUMU CHAMA.
WALIMU NI NGUZO YA MAENDELEO-MAJALIWA
-
*WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa walimu ni nguzo kuu ya maendeleo
ya taifa lolote hapa duniani kwani ndio wanaotoa rasilimaliwatu yenye elimu
am...
4 hours ago